KAMPUNI ya kuzalisha saruji ya Dangote ya Mtwara imesisitiza azma yake ya kuuza saruji kwa gharama nafuu, kuwawezesha wananchi wa kipat...
Read More
Home / Archive for 2016
Kichapo kuchezea, vichura kurukishwa na mapomu kupigwa!!
MABOMU ya machozi jana yalipigwa nje ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuwatawanya mashabiki wa soka waliokuwa wakilazimisha ku...
Read More
Pongezi na Hongera kwake Mheshimiwa Rais!
Rais John Magufuli SIKU chache baada ya uteuzi wa wakuu wa wilaya, Jukwaa Huru la Wazalendo Tanzania limeeleza kufurahishwa na namna ...
Read More
Sheria mpya ya manunuzi ni kiboko..
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango MAREKEBISHO ya Sheria mpya ya Manunuzi, yamewasilishwa bungeni yakitamka kufyeka posho z...
Read More
Kweli TZ tajiri, na hili pia!? Utajiri huooo
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo GESI ya helium ya takribani futi za ujazo bilioni 54 inayoelezwa kuwa adimu dun...
Read More
YANGA chaaliii!!, TP MAZEMBE waalee
MAMBO bado si mazuri kwa Yanga katika michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF CC) baada ya jana kukubali kipigo cha bao 1...
Read More
Ole wao wafanya biashara wanaokwepa kutoa risiti za EFD
Naibu waziri wa Fedha na Mipango, Dk ashatu kijaji NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijaji amesema baadhi ya wafanyabi...
Read More
Ajali ya basi, watano wafariki papo hapo!! 26 hoi
Kamanda wa mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi WATU watano wamekufa baada ya basi aina ya Super Sami, mali ya Kampuni ya Super Sami lililo...
Read More
Tumempoteza Dk. Mbassa wa Chadema usiku wa kuamkia leo
ALIYEKUWA Mbunge wa Biharamulo Magharibi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Anthony Mbassa alifariki duni...
Read More
Meli ya mizigo yazama Bahari ya Hindi
MELI ya Mizigo ya Mv. Happy iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Zanzibar imezama katika Bahari ya Hindi ikiwa imebeba mbao zaidi...
Read More
Aliekuwa mwenyekiti wa simba, awapa somo Simba
MWENYEKITI wa zamani wa Klabu ya Simba Ismail Rage, amewataka viongozi waliopo madarakani kupunguza malumbano na wachezaji ili kujenga k...
Read More
Bilioni 2.6/= zafanikiwa kukusanywa na TBA
MKURUGENZI MKUU WA TBA, ELIUS MWAKALINGA WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umesema tayari umekusanya Sh bilioni 2.6 ikiwa ni zaidi ya a...
Read More
Bajeti ya afya kuongezwa hadi 15%
MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Awamu ya Tano imejipanga kuhakikisha inaongeza bajeti ya sekta ya afya hadi kuf...
Read More
Liverpool yamsaka Sadio Mane
Liverpool imeanza kumwinda mshambuliaji wa Southampton Sadio Mane katika uhamisho wa kitita cha pauni milioni 30. Mkufunzi wa klabu ...
Read More
Mtanange mzito kati ya Shelisheli na Serengeti Boys
Image caption Serengeti boys Timu ya soka ya Vijana ya Shelisheli, inatarajiwa ku wasili usiku huu kwa ajili ya mchezo dhidi ya timu ya...
Read More
Amani ya Zanzibar si shwari, Risasi Zarindima, watatu Wajeruhiwa
Watu watatu wamejeruhiwa kwa kupigwa risasi na askari wa vikosi vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na kupelekwa hospitali ya Alr...
Read More
Waziri Mkuu, David Cameron atangaza kujiuzulu rasmi
Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu, baada ya kushindwa kuwashawishi raia wengi wa Uingereza, kusalia katik...
Read More
Serikali Yafuta Adhabu ya Jela Kuhusu Kutodai Risiti
Waziri wa Fedha na Mipango nchini, Dkt. Philip Mpango, amefafanua adhabu ya kosa la kutotoa ama kudai risiti katika manunuzi na kusema...
Read More
Breaking News: Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Ufundi Kwa Mwaka 2016 Hawa hapa
OR-TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2016. Wanafunzi ...
Read More
Bilioni 2/= kuendeleza kilimo
KAMPUNI ya utoaji mikopo ya Yetu, imesema inatarajia kutumia Sh bilioni mbili kuwanufaisha wakulima nchini kwa ajili ya kuendeleza kilimo...
Read More
Huduma za kibenki sasa mpaka mlangoni mwa mteja
Mkurugenzii mtendaji wa benki ya Barclays Tanzania, Abdi Mohamed BENKI ya Barclays Tanzania imesema ufunguzi wa matawi mapya unaofanyi...
Read More
10,000 waajiriwa na kampuni ya SAGCOT
Mwenyekiti wa bodi ya SAGCOT, Balozi Ami Mpungwe KAMPUNI tano zilizopata ufadhili wa fedha kutoka katika Mfuko Kichocheo wa Ukanda wa ...
Read More
Subscribe to:
Comments
(
Atom
)